UTABIRI! Leo usiku kuanzia mida ya saa mbili karibia vituo vyote vya habari (radio na tv) nchini vitakuwa vinatangaza taarifa ya habari mbali zilizojiri hapa duniani kama ilivyo kawaida.Kwa hyo wahi mapema nyumbani ili usipitwe. Asanteni kwa kupitia. kama haitatokea hvyo mods nipeni ban