UNGEKUWA BABA WA HUYU MTOTO UNGEMFANYAJE?
baba : niletee soda we mtoto
mtoto : pepsi or coka?
baba : pepsi
mtoto : ya kopo ya chupa?
baba : ya kopo
mtoto : ya baridi or yamoto?
baba : hee! we mtoto mbona maswali mengi....basi
bwana ni letee maji tu
mtoto : ya hapa hom or nika nunue kwa shop?
baba : ya hapa hapa
mtoto : ya baridi ya moto?
baba : ya baridi
mtoto : kwenye glasi or kikombe?
baba : ntakupiga na ufagio we mtoto
mtoto :ufagio wa chelewa or wa mti?
baba : ntakuuwa we mtoto
mtoto : uta uwaje utanichoma kisu or utanipiga na
bastola?
baba :ntakupiga na bastola
mtoto : kichwani or tumboni?
baba : kichwani...NIMEKWAMBIA TOKA NJE
mtoto : saivi au baadae kidogo?
baba : sasa ivi
mtoto : maji hutaki?
baba : niletee soda we mtoto
mtoto : pepsi or coka?
baba : pepsi
mtoto : ya kopo ya chupa?
baba : ya kopo
mtoto : ya baridi or yamoto?
baba : hee! we mtoto mbona maswali mengi....basi
bwana ni letee maji tu
mtoto : ya hapa hom or nika nunue kwa shop?
baba : ya hapa hapa
mtoto : ya baridi ya moto?
baba : ya baridi
mtoto : kwenye glasi or kikombe?
baba : ntakupiga na ufagio we mtoto
mtoto :ufagio wa chelewa or wa mti?
baba : ntakuuwa we mtoto
mtoto : uta uwaje utanichoma kisu or utanipiga na
bastola?
baba :ntakupiga na bastola
mtoto : kichwani or tumboni?
baba : kichwani...NIMEKWAMBIA TOKA NJE
mtoto : saivi au baadae kidogo?
baba : sasa ivi
mtoto : maji hutaki?